King'ang'i's appeal to Kisii people for Embarambamba

The comedian left Maina in stitches with his hilarious protest

Maina Kageni and Mwalimu King'ang'i
Image: courtesy

Classic 105 hosts Mwalimu King'ang'i and Maina Kageni had a very fun conversation today where they discussed resemblance and made jokes about people accepting their people.

Mwalimu gave an example of Nyashinski and Sheila Kwamboka being of the same tribe and are celebrated while Embarambamba their tribe mate isn't.

This is what the two Radio stars had to say.

Mwalimu King'ang'i started off by saying, "Kweli watu hawafananangi. Ushai patana na mtu anakwambia, ule ni ndugu yako? Na mbona hamfanani?"

Mwalimu continued to say, "Nawapatia example, Unajuwa Kwamboks wetu hapa?" he asked Maina.

Maina answered, "Sheila Kwamboka."

Mwalimu then stated, "Na vile anajua kizungu, na Nyashinski, wote ni wa Kisii unajuwa pia Embarambamba unajua pia  ni wao."

Mwalimu continued, "Mimi huwaambia maisha hukua hivyo."

Maina stated, "Enyewe venye Kwambox huongea kizungu hapa, na Nyashinski ni super star, lyrics zake zinaflow."

Mwalimu then said, "Unakumbuka pia Embarambamba pia ni wao, na watakangi kumtaja sana, wanaonaga embarassment."

Maina then said, "Where is this violence coming from?" he asked Mwalimu.

Mwalimu then stated, "Nakwambianga kila saa vitu zote haziwezi toshana, sio unakaa hapo kwa  corner unajifanya hawaoni,anatoa wimbo inaitwa "Panua" ingine "Nataka kuingia".

Maina then said sarcastically, "I swear I will never look at Kwamboka another way, nitakua naona Sheila naona Embarambamba."

Mwalimu then said, "Ni relative wa Nyashinski, wanaona Embarambamba wanajifanya, wanaignore hata hawamtaki, lazima mpendane."

Maina then said, "Sawa King'ang'i."

Mwalimu then said, "Ni wenu! Ni wenu! Lazima mpendane huwezi kwenda mahali, huyo ni wenu kabisa na Fred Ombachi. He concluded his statement."

Watch the link below: