Ati What!? Mwalimu explains the difference between Abdalla and Japeth

The whole conversation left Maina in stitches

Mwalimu King'ang'i
Image: Courtesy

Today morning, radio stars Maina Kageni and Mwalimu King'ang'ii spoke on the interesting topic of Abdalla and Japeth.

This is what they had to say.

Maina started by saying, "Who controls who?'

"Abdalla is a controller," Mwalimu continued. "Kuna Abdalla na sasa kuna ule anaitwa Japeth," Mwalimu continued.

Maina asked Mwalimu,"Japeth ni nani."

Mwalimu continued, "Wale starring, Abdalla ni ya watu normal kuna Japeth."

Mwalimu stated, "Ukisiskia msichana ame Japethiwa hawezi toka huko, jamaa hana kazi ,hafanyi chochote, kazi ni kuangalia  netflix lakini akikumbuka Japeth kiko hapo."

"Oh my God I swear King'ang'i," Maina said while bursting out of laughter.

"Kijamaa kiko tu hapo anatoa uti,hana kazi hana pesa, hana qualifications, hakitoki kwa nyumba," Mwalimu stated.

"Lakini akifikiria Japeth," Maina said sarcastically.

"Wewe unafanya kazi, ukona kazi mzuri, mumeitwa retreat Naivasha mnaenda kufanya office function, kile kimtu ndio hiki kinaenda kukungojea kwa room because ukikumbuka ukifanya presentation."

"I'm swear i'm done," Maina said

"Na ulitoka kwa ka Abdalla," Mwalimu said sarcastically.

"Ooh Jesus I cannot do this, "Maina concluded.