Watu wa Nyeri ni wa stingy mpaka huwa wanaangalia menu wakiwa nje - King'ang'i

There some good news here, watu wa Nyeri farmers there are about to benefit pesa ya kahawa- Mwalimu said.

Maina Kageni and Mwalimu King'ang'i
Image: COURTESY

One of the Kenyan Radio stations, Classic 105 brings to you Maina and King'angi as they talk about various issues happening in society.

Today, the two were discussing the news about Nyeri na Kiambu farmers who are set to benefit from billions of money from coffee.

Mwalimu King'ang'i stated,"There some good news here, watu wa Nyeri farmers there are about to benefit pesa ya kahawa."  

He continued to say,"For coffee farmers has stake dispases 4 billion well according to CS Cheluguli."

Mwalimu stated,"4 Billion, under 125,000 farmers in Nyeri County, an hiyo pesa inaanza kuanzia March.  

Maina stated in shock," We are already in March, they have already started being given?'

Mwalimu stated sarcastically,"Watu was kahawa, huto tumzee very soon, unajua Nyeri watu hulala nine."

Maina interrupted,"There is nothing in Nyeri hakuna Pizza Inn,hakuna KFC hivyo tuh."

Mwalimu then said,"Juu wanaangalia menu kwa mlango acaa, acaa otire."

He continued," Mzee hana meno anaambiwa napenda smile yako, gani hana meno huyu utamuua kibogoyo huyu.

Hakuna watu wagumu kama wa Nyeri hata akuwe na pesa, anunue nguo, gari mpya na akona pesa heri akufe

"Watu wa Nyeri ni watu ni wa gam kabisa."Maina stated

Mwalimu continued to say,"Mkono birikia siku utaona Artcaffe imefunguliwa huko ama Java imefika, ujue wamefika hata kujenga ghorofa hawataki kujenga ghorofa ."

Maina continued to sarcastically say," Wasionekane wakona pesa mingi."

Mwalimu added ,"Na wakona pesa, wakona pesa mingi lakini ashaa.

Maina stated,"iciu ni besa nyige."

"Chai 250, gikombe kemwe,atia ashaa."Mwalimu said

"Oooh my God,"Maina concluded as he burst out of laughter.