Mwalimu hilariously reveals origin of 'Maliza twende'

His speech left Maina in stiches

Maina Kageni and Mwalimu King'ang'i
Image: COURTESY

Mwalimu King'ang'i and Maina Kageni hilariously spoke about the famous poster, "usikojoe hapa", plastered on many city streets.

"Sijui ni nini mtu akiona ile sign ya 'usikojoe hapa' unaanzanga kuskia maliza, twende."

Mwalimu King'ang'i stated, "Zamani unajua city council walikuwa na askari wakushika watu hawana adabu Nairobi, ukizurura zurura kuna kitu ilikiwa inaitwa jaywalking.

Maina said, "Did you know, lemme tell you something, if you don't have money at all that is against the law."

Mwalimu surprisingly answered in disbelief, "Where, in Kenya?"

Maina interrupted, "No hold on,let me tell you something.

"Kwa hivyo tushikwe sisi wote," Mwalimu said sarcastically.

Maina continued to say, "No I'm saying if you don't have enough money to take you to your home, that's against the law, the law is called vagrancy. I read about it this week."

"Sasa sisi ni mavigri generation," Mwalimu sarcastically said. 

"It is against the law not to have money in Kenya," Maina added.

Mwalimu continued to say, "Ndio nakwambia ongezea hiyo kwa balloons zilikuwa zimewekwa na wakoloni kukanyanga flower vace Nairobi  unashikwa na city council."

"Kuangalia Stanely ama Novo unashikwa,Kubehave ni kama huna kitu ya unandeleza  Nairobi.Halafu unaona huku kumeandikwa usikojoe hapa i don't know wakati unaona hiyo kibao ndio unataka kukojoa, ukioona tuh usikojoe hapo ndio inakushikia unaenda na unakojoa hapo," Mwalimu stated.

"Ukianza  drrrrr unaskia maliza twende!" Mwalimu continued.

"That is where maliza twende came from?" Maina asked Mwalimu. 

Mwalimu further continued the conversation by saying, "This used to affect men, na unajua ukiguza mwanaume kwa bega, ukiguza mwanaume akiwa kwa hiyo procedure, call of nature, umguze inaisha kwa mwili  inamelt inakuwa jasho."

Mwalimu sarcastically said, "Hatakojoa wiki mzima, maliza twende, maliza twende."

Maina said as he laughed, "Maliza twende is a TBT."

"Ati usikojoe hapa na hapo ndio umeshikiwa," Mwalimu concluded.